| Konde Boy |
| Heheheh. Genius |
| Mmmmh |
| I want to keep you, I no go let you go |
| Nishafunga na zipu, Kwingine nishasema No |
| Acha nikusiifu, Uzuri wa nyumba choo |
| Na ulivyo nadhifu, Sipati vidonda vya koo |
| Eeeh |
| If you leave me I go die, I go die ma bebe |
| Na ukinipenda ntajidai, Ntajidai ma bebe |
| Ooooh Ohooo Ohoo |
| Nakoma na zako Kachiri, Kachiri, Ukibinuka binuka |
| Eeeeeh Eheee Ehee |
| Kivumbi na jasho wawili, Wawili kwenye mashika mashika |
| Asa bebi nite. Uniteke, uniteke |
| Nicheke kama mtoto, Uniteke (Ah bebi nitekenye) |
| Bebi (Ahh) hapo ndo penyewe, Uniteke, Chii uniteke |
| Ninenepe kama Mpoto, Uniteke (Ah bebi nitekenye) |
| Mmmmh |
| Macho yake nungunungu, akinitazama |
| Nami nageuka nungunungu, Miba inasimama |
| Macho yake nungunungu, akinitazama |
| Nami nageuka nungunungu, Miba inasimama |
| Eeeh |
| Fanya wazi unachotaka, Zidisha kunipenda |
| Kuna paparazi na basata, Tusichapane madenda |
| Ooooh Ohooo Ohoo |
| Nakoma na zako Kachiri, Kachiri, Ukibinuka binuka |
| Eeeeeh Eheee Ehee |
| Kivumbi na jasho wawili, Wawili kwenye mashika mashika |
| Asa bebi nite. Uniteke, uniteke |
| Nicheke kama mtoto, Uniteke (Ah bebi nitekenye) |
| Bebi (Ahhh) hapo ndo penyewe, Uniteke, Uniteke |
| Ninenepe kama Mpoto, Uniteke (Ah bebi nitekenye) |
| Asa bebi mi nataka nikukande, Pindaa, Pinda mugongo, Pindaa |
| Yaani pinda nikukande, Pindaa, Pinda mugongo, Pindaa |
| Ooh nishikilie nami nikugande, Pindaa, Pinda (Mi napinda mugongo) Pindaa |
| Embu nipe nikukande, Yaani nikukande |
| Chiiii |
| Embu nipe nikukande, Yaani nikukande |